Mgao wa umeme ulionza hivi karibuni wawa chanzo cha kuzorota kwa kipato kwa wananchi hasa wakipato cha chini kutokana na shughuli za uendeshaji uchumi kusimama. Misongamano ya magari nayo yawa kero kwa watumiaji wa magari jijini.
cha ajabu nini? Dr Idrisa asishaonya kuwa mgao ukitokea tusilaumiane sasa mnataka kusema nini. Acheni tukae kizani ili biashara zao za majenereta zifanyike faster faster
2 comments:
hii imekuwa too much mgao kila mwaka?
cha ajabu nini? Dr Idrisa asishaonya kuwa mgao ukitokea tusilaumiane sasa mnataka kusema nini. Acheni tukae kizani ili biashara zao za majenereta zifanyike faster faster
Post a Comment