March 19, 2010

Mauaji ya kikatili kwa maalbino yaiweka Tanzania pabaya

Mauaji ya kikatili kwa maalbino nchini Tanzania yameiweka nchi katika ramani mbaya hasa vipindi mbalimbali duniani kuonyesha unyanyasaji huo. kupitia kituo cha DISCOVERY CHANNEL siku ya alhamisi ya 25-03-2010 watarusha kipindi hicho kuhusu ukatili huo toka Tanzania