July 10, 2010

Ni Dr Shein Zanzibar

Chama cha mapinduzi (ccm) kimemteua Makamu wa Rais, Dr Ali Mohammed Shein, kuwa mgombea urais wa zanzibar. Dr Shein amewaangusha wagombea 11 wa awali na kubakia wagombea watatu: Dr shein, Dr Mohammed Gharib Bilali na waziri kiongozi, Shamsi Vuai Nahodha.

July 03, 2010

Balaaa jingine.... Germany VS Argentina

majonzi kwa Afrika


Majonzi makubwa sana kwa Waafrika karibu wote baada ya timu pekee toka katika bara la Afrika kutolewa jana katika michuano ya kombe la dunia katika mchezo uliochezwa jana katika uwanja wa Soccercity na timu ya Uruguay kwa kufungwa kwa njia ya penalt baada ya kuzecha kwa muda wa dakika 120.