July 03, 2010

majonzi kwa Afrika


Majonzi makubwa sana kwa Waafrika karibu wote baada ya timu pekee toka katika bara la Afrika kutolewa jana katika michuano ya kombe la dunia katika mchezo uliochezwa jana katika uwanja wa Soccercity na timu ya Uruguay kwa kufungwa kwa njia ya penalt baada ya kuzecha kwa muda wa dakika 120.

2 comments:

JUJU said...

VIZAZI NA VIZAZI HAVITAMSAHAU A.GYAN KWA KUTOIWEZESHA GHANA KUINGIA NUSU FAINALI

ROSEMARY said...

GHANA WAKO JUU