Chama cha mapinduzi (ccm) kimemteua Makamu wa Rais, Dr Ali Mohammed Shein, kuwa mgombea urais wa zanzibar. Dr Shein amewaangusha wagombea 11 wa awali na kubakia wagombea watatu: Dr shein, Dr Mohammed Gharib Bilali na waziri kiongozi, Shamsi Vuai Nahodha.
No comments:
Post a Comment