August 16, 2010

Bi Bendera kupeperusha bendera ya CUF

Safari ni hatua wahenga walisema na ndivyo ilivyoanza kwa Bi. Lydia Bendera katika kinyang'anyiro cha kugombea ubunge katika jimbo la Kibaha Mjini huku akipeperusha bendera ya CUF. Kila rakheri katika harakati hizo.

No comments: