September 20, 2010

RUSHWA KUISHINDA NI KAZI

Nimekuwa ni kijaribu kufatilia harakati hizi cha uchaguzi mkuu kwa ngazi ya Rais, Ubunge na udiwani unaotarajiwa kufanyika siku chache zijazo. Katika kutazama huku na kule nimekuja kubaini kuwa siasa kwa nchi zetu hizi za ulimwengu wa tatu hasa hivi vyama vya upinzani kuja kuondoa serikali kuu itakuja kuwachukua miaka kama si karne kuhakikisha wanachukua nchi. Tumeweza ona vyama vingi vikitoka jasho katika kuhakikisha kuwa wanaweza kuwafikia wananchi kwa kuelezea sera zao. Lakini kadiri siku nazo zilizivyokuwa zikienda vya vipinzani vimejikuta vikiuza nafasi zao kwa siri na kukiachia chama tawala. Na hili limetokana na kushindwa kwa gharama za uchaguzi kuwa kubwa na hasa pale vyama husika kukosa pesa za kuweza kuwawezesha wagombea wao. 

HIVI NDIVYO MUDA UNAVYOPOTEA

KWA ASILIMIA KUBWA SANA WAKAZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM TUNAPOTEZA MUDA MWINGI SANA KUKAA BARABARANI KWA AJILI YA FOLENI ZA ASUBUHI NA JIONI. KUTOKANA NA HILO UKUAJI WA KIUCHUMI NAO UKIZIDI KUDORORA. SERIKALI INABIDI ILITAZAME KWA UPANA ZAIDI ILI KUPUNGUZA TATIZO HILO. HIZO AHADI ZA KWENYE KAMPENI TUNAWAOMBA WAHESHIMIWA WAKIFANIKIWA WAZITIMIZE.....

MICHEZO HUJENGA AFYA

Nadya on slide
michezo kwa watoto huwapa uwezo wa kujiamini pindi wanapokutana na watototo wenzao. Pia michezo ni sehemu ya kuwajenga kiafya zaidi. Hivyo tuwape watoto zetu fursa za kuweza kuonyesha nini wanaweza fanya pindi wanapokutana na watoto wenzao

September 16, 2010

KARIBU ABAYA CENTRE-MAYFAIR PLAZA


Kwa mavazi ya uhakika kwa wakina mama na wasichana wa rika zote tembelea katika duka letu lililopo Mayfair Plaza maeneo ya Msasani karibu na Hospitali ya TMJ. Kwa mavazi, manukato na vito vya thamani fika na onana nasi.

September 08, 2010

Wafanyakazi wa Hindoo na Coast wakiwa mjengoni

MD- Abubaker Abubaker akizungumza jambo
WAZEE WA KAZI
Kutoka kushoto- Saada Azan(Coast Mlimani), Luiza Mahimbo(Coast Mlimani), Happiness(Coast mlimani) na Rukia(Hindoo Mayfair)
MD NA WAIFU  WAKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA WAFANYAKAZI WAKE
warembo wa Hindoo na Coast wakiwa katika picha ya pamoja na wakurugenzi
Wadau
Steve na mahakhui

Hii sio dua bali ni moja ya mikunjo ya kumaliza Futar- Sheikh Alawi