September 20, 2010
RUSHWA KUISHINDA NI KAZI
Nimekuwa ni kijaribu kufatilia harakati hizi cha uchaguzi mkuu kwa ngazi ya Rais, Ubunge na udiwani unaotarajiwa kufanyika siku chache zijazo. Katika kutazama huku na kule nimekuja kubaini kuwa siasa kwa nchi zetu hizi za ulimwengu wa tatu hasa hivi vyama vya upinzani kuja kuondoa serikali kuu itakuja kuwachukua miaka kama si karne kuhakikisha wanachukua nchi. Tumeweza ona vyama vingi vikitoka jasho katika kuhakikisha kuwa wanaweza kuwafikia wananchi kwa kuelezea sera zao. Lakini kadiri siku nazo zilizivyokuwa zikienda vya vipinzani vimejikuta vikiuza nafasi zao kwa siri na kukiachia chama tawala. Na hili limetokana na kushindwa kwa gharama za uchaguzi kuwa kubwa na hasa pale vyama husika kukosa pesa za kuweza kuwawezesha wagombea wao.
HIVI NDIVYO MUDA UNAVYOPOTEA
KWA ASILIMIA KUBWA SANA WAKAZI WA JIJI LA DAR ES SALAAM TUNAPOTEZA MUDA MWINGI SANA KUKAA BARABARANI KWA AJILI YA FOLENI ZA ASUBUHI NA JIONI. KUTOKANA NA HILO UKUAJI WA KIUCHUMI NAO UKIZIDI KUDORORA. SERIKALI INABIDI ILITAZAME KWA UPANA ZAIDI ILI KUPUNGUZA TATIZO HILO. HIZO AHADI ZA KWENYE KAMPENI TUNAWAOMBA WAHESHIMIWA WAKIFANIKIWA WAZITIMIZE.....
MICHEZO HUJENGA AFYA
September 16, 2010
KARIBU ABAYA CENTRE-MAYFAIR PLAZA
Kwa mavazi ya uhakika kwa wakina mama na wasichana wa rika zote tembelea katika duka letu lililopo Mayfair Plaza maeneo ya Msasani karibu na Hospitali ya TMJ. Kwa mavazi, manukato na vito vya thamani fika na onana nasi.
September 08, 2010
Wafanyakazi wa Hindoo na Coast wakiwa mjengoni
MD- Abubaker Abubaker akizungumza jambo
| WAZEE WA KAZI |
| Kutoka kushoto- Saada Azan(Coast Mlimani), Luiza Mahimbo(Coast Mlimani), Happiness(Coast mlimani) na Rukia(Hindoo Mayfair) |
| MD NA WAIFU WAKIWA KATIKA PICHA YA PAMOJA NA WAFANYAKAZI WAKE |
| warembo wa Hindoo na Coast wakiwa katika picha ya pamoja na wakurugenzi |
| Wadau |
| Steve na mahakhui |
| Hii sio dua bali ni moja ya mikunjo ya kumaliza Futar- Sheikh Alawi |
Subscribe to:
Posts (Atom)
