June 14, 2010

CRDB WASTAHILI PONGEZI

Hakika benki ya CRDB inastahili pongezi kubwa hasa kwa kuzingatia kuwa muda ni mali. Kwa kulizingatia hilo benki imeweza kwa kiasi kikubwa kupunguza foleni ndani ya benki kwa kuweza kubuni njia mpya inayorahisisha wateja wake kufika dirishani kwa kuitwa kwa namba.kwa kulitimiza hili mteja anaweza kuwa na muda wa kufanya jambo jingine mpaka namba yake itakapotajwa.
Hongera CRDB KWA KUTHAMINI WATEJA WENU.

No comments: