October 14, 2009
Mwanza yaweka rekodi
Kwa mara nyingine tena Jiji la Mwanza laweka historia nyingine baada ya kijana Pascal Cassian kujinyakulia taji la BSS 3 na kujipatia kitita cha Tsh 25mil na kuwaangusha vinara wawili Peter Msechu kutoka Kigoma na Kelvin Mbati kutoka jiji la Lukuvi Dar Es Salaam. Ikumbukwe pia Miss Tanzania 2009 anatokea huko.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment