Nafasi kwa mtoto
katika maisha ya sasa haya tuliyonayo mtoto anahitaji sana nafasi ya kuweza kujifunza mambo mbalimbali na hapo ndipo utakapoweza kutambua kipaji alichonacho kama mzazi juu ya mtoto wako. Hili bado halijawa jambo rahisi kwetu watanzania tukidhani kuwa hayo ni kwa wenzetu wazungu. Ninachoweza sema juu ya hili ni kwamba kila mzazi anayohaki yakumpatia mtoto wake malezi yaliyo bora ili mradi tu hayaendi kinyume na maadili ya malezi kwa mtoto.
No comments:
Post a Comment