mashabiki wakiramba arambaa arambaaaa.....
Jahazi modern taarab chini ya bingwa wa mapenzi Mzee Yusuf imezindua albamu ya tano inayokwenda kwa jina la DAKTARI WA MAPENZI katika ukumbi wa diamond Jubilee. Hakika mapenzi yalipata daktari kwani mashabiki walikongwa roho zao kisawasawa......
1 comment:
burudani ilikuwa ya kutosha
Post a Comment