October 02, 2009

HOMA YAZIDI KUPANDA MISS TANZANIA

Homa yazidi kuwapanda warembo wanoawania taji la Vodacom miss Tanzania litakalofanyika mapema leo hii katika ukumbi wa kisasa wa mlimani city, jijini Dar Es Salaam. Mshindi kujinyakulia gari aina ya suzuki Grand lenye thamani ya sh mil. 53.2 na fedha taslimu sh mil 9.

No comments: