January 29, 2010
Inafaa hata hapa kwetu
Katika kuhakikisha mazingira yanatunzwa Jiji la Dhaka, Bangladesh lenye wakazi wapatao milioni 20 wameanza kuweka vyoo vinavyotembea kwenye gari ili kupunguza matukio ya kujisaidia hovyo ambayo kwa kiasi kikubwa yanachangia kuchafua jiji. Hapa kwetu tunashuhudia kuta mbalimbali zikiwa na matangazo yanayokataza watu kujisaidia 'TANGAZO HURUHUSIWI KUKOJOA HAPA AMRI'. Hivyo tunatoa changamoto kuwa katika ongezeko la kasi katika miji yetu mikuu kama Dar Es Salaam na kwingineko inastahili wakuu wa miji kuwa wabunifu ili kupunguza ama kuondoa tatizo hili.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment