Ceasar na mai waifu wake Kado katika pozi
Mzee Stephen Mtaki na mai waifu wake Debora Salanya Mtaki (wazazi wa bi harusi) wakiwa na nyuso za furaha.
Kutoka kushoto ni mama Wanjiye(mama mkubwa wa bi harusi) na wazazi wa bi harusi
Kaka wa bi harusi.Emanuel-Salanya- Mtaki
Hakika ilikuwa ni siku ya furaha sana kwa wawili waliopendana kwa dhati kutimiza ile ahadi ya mungu- Mathew 19:5-6. Hongereni sana

2 comments:
Ceasar the great hongera sana. Kwa kusema ukweli shughuli ilikuwa bomba kichizi. Na hakika waswahili hawakukosea kusema kuwa milima haikutani ila binadamu hukutana na hapo ndipo ilipotimia
Tunakutakia maisha marefu yenye furaha na amani.
Post a Comment