December 10, 2009
miaka 48 ya uhuru
Miaka 48 ya uhuru wa Tanganyika yameadhimishwa jana katika uwanja wa uhuru huku kauli mbiu ikisema tulinde na kuudumisha umoja wetu. Katika sherehe hizo zilizoongozwa na amir jeshi mkuu Dk. Jakaya Mrisho kikwete huku mamia ya watanzania wakishuhudia. Viongozi wengine walio hudhuria ni Rais wa Zanzibar, Abeid Amani Karume, waziri kiongozi wa Zanzibar, rais mstaafu wa awamu ya pili Hassani Mwinyi na viongozi mbalimbali toka kambi ya upinzani. Mungu ibariki Tanzania.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment