December 31, 2009
Mh. Rashid Mfaume Kawawa afariki dunia. 1926-2009
Simba wa vita Mh. Rashid Kawawa amefariki dunia leo mapema katika hospitali ya taifa ya Muhimbili. Marehemu kawawa aliwahi kutumikia ngazi mbalimbali katika taifa letu kwa kushika nafasi ya uwaziri mkuu wa kwanza. Mwenyezi mungu ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi. Amen
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment