Ni takribani wiki mbili sasa tangu mwezi huu kuanza na kushuhudia majanga na matukio mbalimbali kulikuta taifa letu la Tanzania. ajali za moto pale Maisha Klabu, kufungiwa kwa mitambo ya Dowans na maporomoko ya udongo huko Same na ajali mbalimbali za vyombo vya barabarani
No comments:
Post a Comment