November 20, 2009

Maadhimisho ya miaka kumi ya jumuiya Ya Afrika Mashariki

Maadhimisho ya miaka kumi ya Jumuiya ya Afrika Mashariki yanaendelea mjini Arusha ambapo Marais wa nchi 5 yaanai Rwanda, Burundi, Uganda, Kenya na mwenyeji Tanzania. Katika kuadhimisha siku hiyo kutakuwapo na uwekaji wa jiwe la msingi wa ujenzi wa makao makuu ya jumuiya hiyo.

No comments: