November 20, 2009
Maadhimisho ya miaka kumi ya jumuiya Ya Afrika Mashariki
Maadhimisho ya miaka kumi ya Jumuiya ya Afrika Mashariki yanaendelea mjini Arusha ambapo Marais wa nchi 5 yaanai Rwanda, Burundi, Uganda, Kenya na mwenyeji Tanzania. Katika kuadhimisha siku hiyo kutakuwapo na uwekaji wa jiwe la msingi wa ujenzi wa makao makuu ya jumuiya hiyo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)

No comments:
Post a Comment