April 18, 2010

Simba Sports Club- Vodacom Premier League Champions 2009/2010

Vijana wa msimbazi Simba Sports Club wametangazwa kuwa mabingwa wa ligi kuu Tanzania bara baada ya kuikamilisha mechi iliyokuwa na shauku kubwa kwa kuwafunga watani wao wa jadi Yanga Dar African kwa mabao 4-3 mchezo uliochezwa katika dimba la uwanja mpya wa Taifa

No comments: