September 30, 2009

MAGAZETINI LEO


Waziri mkuu wa zamani, Dr Salim Ahmed Salim amesema kuwa wanachama wa chama cha mapinduzi wanaotaka kugombea uraisi sambamba na  Jakaya Kikwete waachwe wapambane naye, huku akionya kuwa hawatamuwe





 Jaji Joseph Sinde Warioba amemuonya rais Jakaya Kikwete katika kuzungumzia maswala ya kesi za EPA ambazo bado hazijafikishwa mahakamani kuwa kunaweza kumshushia hadhi yake.










waziri mkuu wa zamani, jaji Joseph Warioba ameonyesha wasiwasi wake kuhusu uongozi wa nchi, akisisitiza kuwa umekuwa karibu mno na matajiri, na nchi matajiri zaidi, kuliko wananchi wa kawaida.

No comments: