Jaji Joseph Sinde Warioba amemuonya rais Jakaya Kikwete katika kuzungumzia maswala ya kesi za EPA ambazo bado hazijafikishwa mahakamani kuwa kunaweza kumshushia hadhi yake.
waziri mkuu wa zamani, jaji Joseph Warioba ameonyesha wasiwasi wake kuhusu uongozi wa nchi, akisisitiza kuwa umekuwa karibu mno na matajiri, na nchi matajiri zaidi, kuliko wananchi wa kawaida.

No comments:
Post a Comment